Propellerads

Hivi ndivyo ilivyokua Man United akishinda jana Rooney amefanya yake, cheki pia takwimu na picha



Manchester United wamefanikiwa kusonga katika hatua ya makundi  ya

klabu bingwa 2015-16 baada ya kuwachapa Club Brugge kwa jumla ya magoli 7-1 jana usiku.



Red Devils walikua wageni kwenye uwanja wa Jan Breydel Stadion huku wakiwa mbele baada ya kushinda 3-1 Old Trafford.



Rooney ndiye alikua kinara jana baada ya kutupia Hat trick kabla ya Ander Herrera kuongeza bao la nne na la mwisho kwa Man United jana. Javier Hernandez angefunga goli la tano kama asingekosa penati.

Chicharito akikosa penati


Cheki takwimu zilivyokua katika mchezo huo

Match statistics

CLUB BRUGGE
Shots: 10
On target: 1
Possession: 34%
Corners: 2
Fouls: 11

MAN UTD
Shots: 22
On target: 7
Possession: 66%
Corners: 4
Fouls: 7
Hivi ndivyo ilivyokua Man United akishinda jana Rooney amefanya yake, cheki pia takwimu na picha Hivi ndivyo ilivyokua Man United akishinda jana Rooney amefanya yake, cheki pia takwimu na picha Reviewed by Steve on Thursday, August 27, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.