Propellerads

Ratiba na matokeo ya Ligi Kuu ya Uingereza.


Ligi Kuu ya Uingereza inaendelea wikiendi hii kwa michezo ya mzunguko wa 36 inayochezwa kwenye viwanja mbalimbani tofauti nchini humo.
Kila timu inaonyesha kujiandaa kufanya vizuri katika kuhakikisha inapata matokeo mazuri ili kujiweka kwenye nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi hiyo ambayo inaenda kumalizika mwezi huu. 
Chelsea ambao wameshanyakua Ubingwa msimu wakiwa na
pointi 83 kileleni huku wakifuatiwa na Manchester City wanayoshika nafasi ya pili wakiwa na pointi 70 wakati Burnley wakiendelea kushika mkia kwa kuwa na pointi 26.
Ifuatayo ni ratiba na matokeo ya michezo yote ya EPL ya wikiendi hii:


MudaMwenyejiMatokeoMgeni
Jumamosi
FTEverton0 - 2Sunderland
live 79'Aston Villa1 - 0West Ham United
live 79'Hull City0 - 1Burnley
live 77'Leicester City2 - 0Southampton
live 79'Newcastle United1 - 1West Bromwich Albion
live 79'Stoke City2 - 0Tottenham Hotspur
19:30Crystal PalacevsManchester United
Ratiba na matokeo ya Ligi Kuu ya Uingereza. Ratiba na matokeo ya Ligi Kuu ya Uingereza. Reviewed by Steve on Saturday, May 09, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.