Propellerads

Simba watokomea Zanzibar kuweka kambi




Kikosi cha Simba kimeondoka leo mchana kikitumia usafiri wa boti kwenda mjini
Zanzibar kuanza kambi

Simba ikiongozwa na Kocha Mkuu, Dylan Kerr na benchi zima la ufundi inaingia kambini Zanzibar baada ya kambi ya kwanza mjini Lushoto.

Simba iliweka kambi kutafuta nguvu, kasi na uimara wa wachezaji.

Sasa inakwenda Zanzibar kwa ajili ya kambi itakayohuisha masuala ya kiufundi zaidi kiuchezaji ikiwa ni pamoja na kucheza mechi za kirafiki
Simba watokomea Zanzibar kuweka kambi Simba watokomea  Zanzibar kuweka kambi Reviewed by Steve on Tuesday, July 21, 2015 Rating: 5

No comments:

Propellerads
Powered by Blogger.